Moja ya habari ambazo zimetapakaa kwenye mitandao ya kijamii kwasasa ni pamoja na hii ya Jaguar
msanii kutoka nchini kenya kufunga ndoa, ila ukweli ni kwamba hizi picha ni behind the scene ya video yake mpya ambayo inatoka Jumatatu ya leo August 25 2014.
No comments:
Post a Comment