AMAZING...... FLAAAANI HIVI:

AMAZING...... FLAAAANI HIVI:
AMAZING...... FLAAAANI HIVI:

Monday, June 9, 2014

Waukae-Baada ya kazi ngum (New audio) Dawnload


NAS B-KIBONGE (NEW AUDIO) DAWNLOAD


Mwana Fa Ft. G-Nako - Mfalme (Lyrics)

Mwana Fa Ft. G-Nako - Mfalme (Lyrics)


Mwana FA ft G Nako - Mfalme lyrics

[Mwana FA]
Look around brother
Choir Master!
Ghetto Gospel (Yes!)
Keeping the good music alive!

[G Nako]
Kanipa maarifa loloo (nampa sifa)
Yakanipa nyadhifa loloo (nampa sifa)
Kaziba nyufa loloo (nampa sifa)
Olooh! (Mfalmee!)
Kanipa maarifa yakanipa nyadhifa
Ikajipa sifa, kaziba nyufa
Namwiita ye Mfalmeee
Mfaaalmeee

[Mwana FA]
Holla at ya boy!
Sinung'uniki sina viatu wenzangu hawana miguu
Hawalalamiki wanamshukuru Aliyejuu
Siwezi nikamletea makuu maombi ya kibraza du
Mbwembwe za kuomba magari nawaachia son I'm cool
Kama kipande cha kwanza cha mbao kwenye safina
Mimi ni kitu cha Mungu nafanya alichonituma
Kanipa ubongo na misuli na roho ya kitajili
Sina kitu ila sina roho mbaya tunaishi vizuri
Fukara nayeshukuru au tajiri nisiyekufuru
Najua bata najua hustle mi ni njiwa na kunguru
Kuna vingi vya kumuomba Mungu kabla hujamuomba utajiri
Naishi kwa mapenzi yake hakuna kitu naona hatari
Unapata ulichoandikiwa Mungu hakupi kama hataki
Hata ukipora itapotea ili mradi yatimie maandishi
Mi ndo vito wa kolioni vitu vinaisha my way
Nife nikiwa muumini na everything gon' be I man

[G Nako]
Kanipa maarifa loloo (nampa sifa)
Yakanipa nyadhifa loloo (nampa sifa)
Kaziba nyufa loloo (nampa sifa)
Olooh! (Mfalmee!)
Kanipa maarifa yakanipa nyadhifa
Ikajipa sifa, kaziba nyufa
Namwiita ye Mfalmeee
Mfalmeee
Kanipa maarifa yakanipa nyadhifa
Ikajipa sifa, kaziba nyufa
Namwiita ye Mfalmeee
Mfalmeee

[Mwana FA]
Najua anamipango, anafungua milango
Ndo anatoa michongo, namwita Mfalme Wa Jungle
Boss wa dunia yangu kanipa nguvu na ubongo
Mwenye maamuzi ya mwisho angetaka angeniumba fungo
Mafala wana midomo ka vicheche usiwe kati yao
Wanaosema wenzao rudi angalia maisha yao
Wengine hawana hata kalaki wanaita wenzao maskini
Haki nawaombea mabaya kama wanavyoniombea mimi
Ni hata mtoa wa roho ni malaika, na nahisi ataenda peponi
Achia kuhukumu sio kazi yako, we ni mwenzangu na mimi
Na una dhambi kama mimi, na hatujui kubwa za nani
Labda zako labda zangu, sio kazi yetu ni ya Maanani
Usiniwaze sana mi nawaza maisha yangu
Sina hata mia ya urithi vyote hivi ni vya kwangu
Nshaenda shule bila viatu, nshatoa funza kama buku
Na ipo siku utaniheshimu ama utaheshimu hela zangu

[G Nako]
Kanipa maarifa loloo (nampa sifa)
Yakanipa nyadhifa loloo (nampa sifa)
Kaziba nyufa loloo (nampa sifa)
Olooh! (Mfalmee!)
Kanipa maarifa yakanipa nyadhifa
Ikajipa sifa, kaziba nyufa
Namwiita ye Mfalmeee
Mfalmeee
Kanipa maarifa yakanipa nyadhifa
Ikajipa sifa, kaziba nyufa
Namwiita ye Mfalmeee
Mfalmeee
Kanipa maarifa loloo (nampa sifa)
Yakanipa nyadhifa loloo (nampa sifa)
Kaziba nyufa loloo (nampa sifa)
Olooh! (Mfalmee!)

MD-KAMA JANA (NEW AUDIO) DAWNLOAD


RHYMEZ B-BEATIFULL (NEW AUDIO) DAWNLOAD


SAISALU-MADIKO (NEW AUDIO) DAWNLOAD


STAMINA-LANGO LA JIJI (NEW AUDIO) DAWNLOAD


Baby madaha (New audio) Dawnload


Barnaba-Wahalade (New Audio)


Hama nini!!! hii ni noma sana m2 wangu- usikose iyo siku


Tuen lwila ft Ney lee-kula kulala (New audio)


VEE_MONEY_COME_OVER_REFIX_FT_LAMAR_MST_(NEW AUDIO)


MTV MAMA 2014: Diamond hakubahatika, Mafikizolo wabeba tuzo kubwa zaidi, orodha kamili ya washindi

MTV MAMA 2014: Diamond hakubahatika, Mafikizolo wabeba tuzo kubwa zaidi, orodha kamili ya washindi

Safari ndefu ya ya mchakato wa tuzo za MTV (MAMA2014) Ulioanza rasmi April 16 baada ya kutangazwa majina ya nominees na kuanza kupigiwa kura imefikia ukingoni usiku wa kuamkia leo, ICC Arena, Durba Afrika Kusini.  

Kwa mujibu ya matokeo ya mchakato mzima, Tanzania hatubahatika kupata tuzo hata moja kati ya tuzo mbili alizokuwa anawania Diamond Platinumz (Best Male Artist na Best Collaboration).  Davido ndiye aliyebeba tuzo ya Best Male Artist na tuzo nyingine kubwa ya Artist of The Year. Na Tiwa Savage aliipeleka Nigeria tuzo ya Best Female.

Kundi la Mafikizolo kutoka Afrika Kusini ndilo lililonyakua tuzo kubwa zaidi usiku huo, tuzo ya Wimbo bora wa mwaka na wimbo wao maarufu wa Khona waliomshirikisha Uhuru. Pia likashinda tuzo ya kundi bora (Best Group).

Mafikizolo wanawania pia tuzo za BET katika kipengele cha Best International Act.  Moja kati ya surprise zilizowavuta wengi ni pale D’Banj alipoungana na Trey Songz jukwaani.

Macho ya watanzania na nguvu kubwa inaelekezwa BET ambako Diamond anawania tuzo ana kila dalili ya kuwazidi wenzake.

Hii ni orodha ya washindi:                                                                                        


Song of The Year
Khona-Mafikizolo feat Uhuru

Best Collabo
Y-tjukutja – Uhuru feat DJ Buckz, Oskido, Professor, Yuri Da Cunha

Best Music Video 
Clarence Peters (Nigeria)

Best Francophone
Toofan (Togo)

Artist of the Year
Davido (Skelewu)

Best Hip Hop
Sarkodie (Ghana)

Best Group
Mafikizolo

Best New Act
Stanley Enow (Cameroon)

Best Female Artist 
Tiwa Savage (Nigeria)

Best Male Artist
Davido (Nigeria)

Best Altenative 
Gangs of Ballet  (South Africa)
*Transform Today Award- Clarence Peters

2 Cee Ft Dresan - As E Dey Hot /dawnload