AMAZING...... FLAAAANI HIVI:

AMAZING...... FLAAAANI HIVI:
AMAZING...... FLAAAANI HIVI:

Wednesday, July 2, 2014

Baada ya ushindi wa Tuzo za BET Davido afanya callable na Meek Mill

Baada ya ushindi wa Tuzo za BET Davido afanya callable na Meek Mill

 Katika kile alichokiandika mshindi wa Tuzo za BET "Davido" kutoka Nigeria hakuna shaka kuwa ameshafanya collable na msanii wa May Bach Music, Meek Mill.
Kupitia account yake ya instagram, davido alimuanidkia Meek Mill kuwa hawezi kusubiri kusikia kazi yao imetoka baada ya Mill kumpa hongera ya ushindi wa tuzo ya BET "Best International Act" Africa



No comments:

Post a Comment