AMAZING...... FLAAAANI HIVI:

AMAZING...... FLAAAANI HIVI:
AMAZING...... FLAAAANI HIVI:

Sunday, June 29, 2014

Davido anyukuwa tuzo iliyokuwa ikiwaniwa pia na Diamond

katika siku ambazo zilikuwa zikisubiriwa kwa hamu sana na watanzania pamoja na Africa kwa ujumla, ni leo ambapo tuzo za BET zinafanyika
Furaha ya watanzania ilianza tangu Diamond Platnumz alipochaguliwa kuwania tuzo hizo katika kipengele cha "Best International Act" ambapo alikuwa akishindana na wasanii wengine akiwemo Davido.


bahati haikuwa ya watanzania kwamara nyingine kama ilivyokuwa katika tuzo za MAMA, na safari hii pia Davido ameondoka na tuzo hiyo .

akionyesha furaha yake kupitia acc yake ya Instagram Davido ameandika

No comments:

Post a Comment